Wasomi wametakiwa kuandika vitabu vya uandishi wa habari vitakavyotumiwa kufundishia taaluma hiyo.
ZA KISWAHILI
MCT yahimiza kuandikwa kwa vitabu vya kufundishia uandishi wa habari
Vyombo vya habari visichochee mifarakano - MCT
Vyombo vya habari vya utangazaji hususan Redio na Televisheni vimetakiwa
‘Sheria ya haki ya kujua ni chachu ya uwajibikaji’
Sheria ya haki ya kupata Habari inayotumika nchini India imeleta maendeleo makubwa katika uwajibikaji wa viongozi wa umma pamoja na kuwa na uwazi na kuendeleza mbele utawala bora na demokrasia.
Balozi Kijazi asifu sheria ya haki ya kupata habari
Sheria ya haki ya kupata Habari inayotumika nchini India imeleta mafanikio makubwa katika kuwapatia haki wananchi wa kawaida na pia viongozi wameweza kujibu hoja tofauti zinazotolewa za kuhoji matumizi yasiyoridhisha katika dhamana wanazopewa.
MCT yawapeleka Wabunge India
Wabunge saba wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii ya Bunge la Jamhuri ya Muungano pamoja na
More Articles...
Page 1 of 6
Habari za Kiswahili

